Wednesday, October 19, 2016

Unknown

Kilichojiri Leo Jumatano Kesi ya Mtoboa Macho (Scorpion) Mahakamani Jijini Dar

Kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion, imeondolewa katika mahakama ya wilaya ya Ilala na kuhamishiwa mahakama kuu jijini Dar es salaam. 

Pichani ni mtuhumiwa Salum Njwele (scorpion) mwenye kanzu jeupe akitoka katika mahakama ya Ilala jumatano hii.
Hatua hiyo imekuja kutokana na kuwasilishwa ombi katika mahakama hiyo na wakala wa upande wa mashtaka Munde Kalombora na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Adelf Sachore kuridhia.
Njwele anakabiliwa na shtaka la unyanga’nyi na kumjeruhi Said Ally Mrisho baadhi ya sehemu zake za mwili huku akimsababishia kijana huyo upofu.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.