Ndipo Mama Wema alifunguka “Ninachotaka kusema ni kwamba, mimi natamka wazi sina tatizo na yule mtoto” Mama Wema alifunguka kwamba katika vitu ambavyo hawezi kuvifanya, kimoja wapo ni kujiunga katika mtandao wa Instagram. Alidai kwamba akijiunga katika mtandao huo atakwazika na mengi, bali yeye mtandao ambao anaufurahia kuutumia ni Whatsapp.
Thursday, September 15, 2016
Hatimaye Mama WEMA Amalizana na Man Fongo... Pia Afunguka Kuhusu Kujiunga INSTAGRAM
Ndipo Mama Wema alifunguka “Ninachotaka kusema ni kwamba, mimi natamka wazi sina tatizo na yule mtoto” Mama Wema alifunguka kwamba katika vitu ambavyo hawezi kuvifanya, kimoja wapo ni kujiunga katika mtandao wa Instagram. Alidai kwamba akijiunga katika mtandao huo atakwazika na mengi, bali yeye mtandao ambao anaufurahia kuutumia ni Whatsapp.
Note: Only a member of this blog may post a comment.