Saturday, September 17, 2016

Unknown

Hatimaye Meneja Wa Kimataifa Wa DIAMOND Afunguka Kuhusu Show Ya Kushtukiza Ya ALIKIBA Iliyozua Utata Mombasa, Kenya

International Meneja wa Diamond Platnumz ‘Sallam Sk’ ameongea na Sammisago Kupitia ENews kuhusu Ali Kiba kufanya show kama msanii wa kushtukiza kwenye jukwa moja na Diamond Platnumz.

Sallam anasema “Sisi hatukuambiwa kama Ali Kiba atakuwepo kwenye show kwa hio Ali Kiba alikuwa kwenye show kama Suprise, nashukuru muziki wetu wa Tanzania unazidi kukua, tulichofanya ni kitu mkataba wetu umesema tufanye , na tuliperform kwa saa mbili, hawakuandika Diamond is a Tanzanian artist, ila waliandika International Artist, kama alitangazwa Diamond pekee yake, akaja msanii mwingine pia hiyo ni sawa tu 

Hii ni hatua nyingine inayothihirisha kuwa labda hakuna beef kati yao na kwamba wote wanakubalika kama wasanii wa kimataifa…..

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.