Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba amefika nchini Afrika Kusini ambako amekuja kutia saini kwenye dili zake saba mpya ambazo zitamchukua yeye na bongofleva kwenye hatua nyingine kubwa ya kimataifa, dili hizo zitatangazwa ndani ya saa 48 kuanzia leo May 19 2016, tazama hii video hapa chini
Thursday, May 19, 2016
VIDEO: Alikiba Kafika South Africa... Mambo Yake Mapya 7 Kutangazwa Kwenye Dili Jipya!
Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba amefika nchini Afrika Kusini ambako amekuja kutia saini kwenye dili zake saba mpya ambazo zitamchukua yeye na bongofleva kwenye hatua nyingine kubwa ya kimataifa, dili hizo zitatangazwa ndani ya saa 48 kuanzia leo May 19 2016, tazama hii video hapa chini
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
SPORTS AND ENTERTAINMENTS,
VIDEO,
WASANII
on Thursday, May 19, 2016

Note: Only a member of this blog may post a comment.