Saturday, April 9, 2016

Anonymous

TUNDA: Kupiga Picha Nusu Utupu ni Hobi Yangu!

tunda-21.jpg
Na Mayasa Mariwata
MUUZA nyago Bongo, Tunda Sebastian amesema miongoni vya vitu ambavyo anajiona yuko huru kuvifanya ni kupiga picha za kihasara kwani anachukulia kama hobi yake.
Tunda alifunguka hayo baada ya kuulizwa sababu za yeye kupenda kupiga picha hizo ambapo alisema, yeye haoni tatizo katika hilo kwani hata wazazi wake walikuwa wakimpigia kelele lakini sasa wametulia.
“Huwezi kumjaji mtu kwa picha, sioni tatizo kwani hata ‘home’ wanajua kuwa hiyo ni hobi yangu,” alisema Tunda huku wengi wakimponda kwa tabia hiyo chafu inayokwenda kinyume na maadili ya Kitanzania!
Kuziona picha zake na video hizo follow akaunti hii intagaram===>>https://goo.gl/zwbkyo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.