Mgombea Urais kwenye uchaguzi mkuu wa Marekani Donald Trump alikoswakoswa kushambuliwa na mmoja wa Wananchi waliokusanyika kumsikiliza kwenye mkutano wake wa kampeni huko Ohio ambapo wakati jamaa huyo aliporuka uzio ili kwenda kumfataTrump jukwaani, walinzi walimdaka mapema hivyo hakufika kwenye jukwaa.
Polisi walimkamata huyo jamaa aitwae Thomas Dimassimo (22) lakini aliachiwa saa kadhaa baadae, unaweza kutazama hii video hapa chini kuona ilivyokuwa…
VIDEO NYINGINE NI HII HAPA CHINI…
Thomas Dimassimo aliendelea kuandika matusi kwa Trump baada ya kuchiwa kwa dhamani siku ya tukio na kukanusha pia kwamba alikua anakwenda kumshambulia kwa kisu jukwaani, alisema hakuwa na silaha yoyote ya kumdhuru Trump.


Note: Only a member of this blog may post a comment.