Na hamida hassan
Msanii wa filamu wa ‘long time’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ ameibuka na kusema kuwa yeye kama dairekta hamkubali Jokate Mwegelo kwenye suala zima la uigizaji wa filamu kwani anaamini kuwa bado ni cha mtoto.
Akipiga stori na Ijumaa kuhusiana na baadhi ya mamisi waliojiingiza kwenye uigizaji, Thea alisema wapo wengi ambao wamevamia fani huku akimtaja Jokate kama mmoja wao.
Msanii wa filamu wa ‘long time’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ ameibuka na kusema kuwa yeye kama dairekta hamkubali Jokate Mwegelo kwenye suala zima la uigizaji wa filamu kwani anaamini kuwa bado ni cha mtoto.
Akipiga stori na Ijumaa kuhusiana na baadhi ya mamisi waliojiingiza kwenye uigizaji, Thea alisema wapo wengi ambao wamevamia fani huku akimtaja Jokate kama mmoja wao.
Note: Only a member of this blog may post a comment.