March 8 2016 siku ya Wanawake Dunia kupitia Hekaheka ya Clouds FM leo Geah Habib
ametuletea Hekaheka inayomuhusu mwanamke aliyetoroka musoma kwa tuhuma
za kutaka kukeketwa na Mama mkwe wake baada ya Mume wake kufariki ndipo
alipofunga safari kuelekea dar kwa ajili ya kumtafuta Mama yake mzazi.
Mazungumzo yake na Geah Habib yalikuwa kama hivi, ‘Baada
ya Mama Rozi kunitumia nauli kutoka Mwanza akaniambie nije nifanye kazi
kwasababu mtoto alivyo ugua nililazwa, nikalazwa nikakosa mahitaji
maana nikiwaga na matatizo namwambiaga Mama Rozi ndio akaniambia kwanini
usije huku unisaidie kazi mimi ni kasema sawa‘>>>Mama aliyetoroka
‘Kuna taratibu za
kumshitaki mtu aliyetoa taarifa za uongo kwa kituo cha Polisi anaweza
akashtakiwa Jamuhuri ikasimama akapelekwa Mahakamani, alikuja nashida
alikuwa amekimbia Tarime kwa tuhuma za kutaka kukeketwa na tayari mtoto
alikuwa ameshaumia na alikuwa anamtafuta Mama yake‘>>>Prisca Komba Polisi toka kituo cha Osterbey
Stori kamili bonyeza Play hapa chini nimekuweka…..
Note: Only a member of this blog may post a comment.