Najua mtu
wangu wa nguvu unatamani kujua ni miji gani gharama zake za kuishi ni
nafuu zaidi na pia ni ipi yenye gharama kubwa zaidi kuishi.
Economist Intelligence Unit
wamefanya utafiti kuhusiana na Miji mikubwa Duniani yenye gharama kubwa
zaidi za kuishi kwa mwaka 2016. Utafiti huu ulijikita zaidi katika
kufanya mahesabu kwa kulinganisha bei za vitu mbalimbali kwenye miji 133, Mji wa Singapore umeshika namba moja kwa kuwa mji wenye gharama kubwa zaidi za kuishi.
Mji
mkuu wa Zambia Lusaka kutoka Afrika ndio mji wenye gharama ndogo za
kuishi Duniani, umechukua nafasi ya 133 ikiwa ni nafasi ya mwisho kwenye
miji iliyofanyiwa utafiti ikifuatiwa na miji ya India Bangalore na
Mumbai.
1.Singapore
2.Zurich-Switzerland
3.Hongkong
4.Geneva
5.Paris
6.London
7.New York
8.Copenhagen, Denmark
9.Seoul-South Korea
10.Los Angeles
133.Lusaka -Zambia

Note: Only a member of this blog may post a comment.