Leo March 11 ripota wa millardayo aliamua kuzunguka katika baadhi ya maeneo ya Dar es salaam
na kuangalia baadhi ya barabara zilizoharibika na kusababisha kero ya
usafiri kwa watumiaji wa barabara hizo, hapa tayari ameshakusogezea hizi
10 ambazo unaweza kuzitazama na mwishoni ni rukrsa kuweka maoni yako
kuhusu barabara hizi.
.
Hapa ni Mwananyamala
Pembeni ya soko la Mwananyamala Dar, barabara ikiwa imeharibika
.
Eneo hili ni Makumbusho, barabara imeharibika
.
Hapa ni Makumbusho Dar, maji yamejaa barabarani
.
Bajaji ikiwa imekwama katika maji
Gari likijaribu kupita katika maji katika eneo la Makumbusho
-via millardayo

Note: Only a member of this blog may post a comment.