Lionel Messi kwa sasa anatajwa kuwa na wakati mgumu wa kuivunja rekodi ya mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, Ronald Koeman ambaye anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi kwa faulo, Koeman kafunga jumla ya faulo 25 kuanzia mwaka 1989-1995.
Lakini Lionel Messi kafunga jumla ya faulo 21 kuanzia 2004 hadi sasa, huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na Ronaldinho ambaye kafunga faulo 20 kuanzia mwaka 2003-2008. Hiyo ndio rekodi pekee Lionel Messi rekodi hajaivunja hadi sasa.

Note: Only a member of this blog may post a comment.