Thursday, March 10, 2016

Anonymous

MASTAA NICKI MINAJ NA T.I WAPATA DILI LA MILLION 521 HUKO DURBAN

Manispaa ya eThekwini ambamo ndani yake kunapatikana jiji la Durban nchini Afrika Kusini, imedai kuwa inatarajia kutumia R3.7m (zaidi ya shilingi milioni 521) kuwalipa Nicki Minaj na T.I. wanaotarajiwa kutumbuiza mwezi huo.

Maafisa wa manispaa hiyo walieleza taarifa hiyo kwenye mkutano mkuu ambapo fedha hizo zitasaidia kuwaleta wasanii hao jijini Durban.
Rapper huyo wa Live Your Life atatumbuiza Durban March 11. Ziara ya Nicki Minaj itafanyika March 20.
CHANZO na Bongo5.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.