Saturday, March 5, 2016

Anonymous

JACK: Wakwe Mnisamehe Kwa Uvaaji Wangu!

jack dustan
Na Imelda Mtema
Mrembo ambaye ni zao la Maisha Plus, Jacqueline Dustan amefunguka kuwa wakati akielekea kufunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi, kwa upande wa nguo fupi wakwe zake wamsamehe kwani hataacha. 
Jack alisema kuwa anaipenda ndoa ila linapokuja suala la kuvaa mavazi ya nusu utupu wakweze wasimmaindi kwani ameshazoea kujiachia.
“Uvaaji wangu unajulikana, eti nibadilike maana naolewa, hee..mniache na hao wakwe wanizoee kwa hilo,” alisema Jack.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.