Na Imelda Mtema
Mrembo ambaye ni zao la Maisha
Plus, Jacqueline Dustan amefunguka kuwa wakati akielekea kufunga ndoa na
mchumba wake wa siku nyingi, kwa upande wa nguo fupi wakwe zake
wamsamehe kwani hataacha.
Jack alisema kuwa anaipenda ndoa ila
linapokuja suala la kuvaa mavazi ya nusu utupu wakweze wasimmaindi kwani
ameshazoea kujiachia.
“Uvaaji wangu unajulikana, eti nibadilike maana naolewa, hee..mniache na hao wakwe wanizoee kwa hilo,” alisema Jack.

Note: Only a member of this blog may post a comment.