Tuesday, March 8, 2016

Anonymous

Huyu Ndiye Kidume Mpya wa LULU?! Shuka Nayo Hapa

Kikohozi cha mapenzi kimeendelea kuyakaba makoo mengi. Baada ya Barakah Da Prince na Naj kushindwa kuzuia chao, Lulu na DJ Majay wameonekana kushindwa kukihimili chao pia.
Udaku mjini unadai kuwa mshindi wa tuzo za AMVCA 2016, Elizabeth Michael aka Lulu amechukua nafasi ya Hamisa Mobeto kwenye moyo wa CEO huyo wa EFM.

Majay alimsindikiza Lulu kwenye tuzo hizo zilizofanyika jijini Lagos, Nigeria.
Baada ya muigizaji huyo kushinda tuzo, Majay hakusita kumpongeza.
“Congratulation Madam,You Made all of us proud Keep it up! @elizabethmichaelofficial @elizabethmichaelofficial,” aliandika Majay kwenye Instagram.

Picha hiyo ilivutia comments nyingi za kufurahisha na inaonekana kuna watu walikuwa wanaujua uhusiano huo tayari.
new_husnaa: Majizo me napita kaka dancerdancer@elizabethmichaeloffic
lovie_lovie_lovie: This is the most painfull feeling to a woman. Seeing ur man with someone else. Not jus a woman. A successfull woman. Anyway congrats lulu. U made it babe gal.
elizabethmichael_fashion_icon: Tokeni povu lkn baby wa bae wangu ndo keshapongeza
hassanuraji: Penzi nikikohozi jmn ukimpenda mtu huwezi kuficha wala kujali ya watu hongera bro @majizzo@munalove100 @elizabethmichaelofficial
bellynashotz: @majizzo chukua soda nakuja kulipa
ashawaismael: Duuuu mambo kweeeupeee
tinabegere: Malipo chini ya jua hata kama si leo ipo siku. Kumbuken wenzenu pia wana mioyo ya nyama si ya chuma!
trixnicolas: Mbona watu mapovu yanawatoka.. ivi majay aliwahi kupost cheti cha ndoa na mtu?? .. hebu muacheni … shkanaa fanya yako mama.. umetumwa hela uchagani sio kuuza sura… go mama goooo… ila nimependa iyo apo juu destination…. buhahahahahahahaha
jaqy13: mungu wangu napost inaonyesha imetumwa kutoka Lagos nigeria mmmhh crycrycrycry@majizzo

Hata hivyo wengine hawajasita kwenda kumpa pole Hamisa.
officialjoyvieve: Ucjali babe, mambo ya kawaida tu ayo, deal with your doutah mungu yupo
charity_mimi: Polee mwayaa mana umemanuliaa kakumwagiaa umemzaliaa kakupiga chinii na kumpenda mwinginee inaumiza sanaa sidhani kama hata unapata usongizii
Majizzo na Hamisa walibahatika kupata mtoto wa kike, Fantasia.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.