Saturday, March 5, 2016

Anonymous

CCM Yawafukuza Uanachama Wananchama 25 Kwa Madai ya Kukisaliti Chama Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu 2015

Chama cha Mapinduzi(CCM) Kigoma, chawafukuza uanachama wananchama 25 kwa madai ya kukisaliti chama kipindi cha Uchaguzi mkuu 2015.Uamuzi huo wa kuwafuta uanachama ulitolewa na kikao cha halmashauri kuu cha Mkoa kilichofanyika tarehe 2 Machi mwaka huu.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.