Chama cha wananchi CUF kimekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni kuwa katibu mkuu wake Maalim Seif Shariff Hamad kuwa amelazwa hospitali yupo mahututi. Kwa mujibu wa msemaji wa chama hicho ametoa taarifa kuwa Maalim ni mzima na hajalazwa! Taarifa zaidi endelea kufuatilia hapa hapa katika mtandao huu.
Note: Only a member of this blog may post a comment.