Sijamsikia kwa kipindi kirefu kidogo na sio kawaida yake, na hata zile safari za ujenzi wa chama zilizoandaliwa hivi majuzi sizisikii tena kama wamekwenda au lah, mwenye taarifa atupatie maana alisaidia sana "kukijenga chama" huko mikoani kiasi kwamba kura za Chama "ziliongezeka" kwa kiasi kikubwa..Je Magufuli Kamsahau ama Vipi? 
Sunday, February 28, 2016
Yuko Wapi Comrade KINANA? Je, MAGUFULI Amemsahau... Namkubali Sana Jamaa Katika Makada CCM Waliopambana Kujenga Chama
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under: 
          
MAWAZO HURU, 
SIASA
  on Sunday, February 28, 2016


Note: Only a member of this blog may post a comment.