Balozi Melrose amesema Waziri Mkuu Cameron amevutiwa sana na utendaji wa Rais Magufuli na kusisitiza kwamba Nchi hiyo itaendeleza ushirikiano wa karibu uliopo kati ya Uingereza na Tanzania ili ndoto za Watanzania kimaendeleo zitimie.
''Waziri Mkuu, Cameron amesema yuko tayari kushirikiana kwa karibu na serikali yako katika eneo la inteligensia na pia kuziwezesha mahakama zifanye kazi kwa ufanisi zaidi'' Alisema Melrose.
PICHA:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini, Bi. Dianna Melrose, Ikulu jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Uingereza hapa nchini, Bi. Dianna Melrose.
Bonyeza play au download kutazama video hiyo hapa chini;
PICHA:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini, Bi. Dianna Melrose, Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Uingereza hapa nchini, Bi. Dianna Melrose.
Bonyeza play au download kutazama video hiyo hapa chini;

Note: Only a member of this blog may post a comment.