Sunday, February 14, 2016

Anonymous

VIDEO: Uhamiaji Wanaendelea Kukamata, Safari Hii Wametoa Onyo Mpaka Kwa Club za Soka TZ…


Idara ya uhamiaji Dar imeendelea na Oparesheni ya kuwasaka na kuwakamata wale wote wanaoishi nchini bila kuwa na vibali maalum, hadi sasa tayari kuna ripoti ya watu waliopatikana na hatia hii, lakini kubwa zaidi pia kuna hili huwenda ikawa haijakufikia ya biashara haramu inayoendelea ya watu kuuzwa Uarabuni..?
Full stori nimekusogezea kwenye hii video hapa chini..

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.