Wednesday, February 24, 2016

Anonymous

Staa Huyu wa Bongo Muvi Anaswa Akipika Mama Ntilie [+PICHAZ]

Gilla (9)  
Msanii wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ katika pozi.
MSANII wa filamu anayekuja juu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ kumbe ni mjasiriamali akiendesha biashara ya Mamalishe maeneo ya Tabata Bima jijini Dar es Salaam.
Gilla (4)Akipika kwenye mma ntilie yake
Kamera ya gazeti hili ilimnasa Gilla akiwa bize katika mgahawa wake akihangaika huku na huko peke yake na kusababisha watu wanaomfahamu kuwa na maswali vichwani mwao.
Gilla (8)
“Hii biashara nimeifungua muda siyo mrefu na kwa kawaida kuna wasichana wanaonisaidia lakini leo hawapo ndiyo maana nimekomaa mwenyewe ili hela isinipite.
Gilla (1)Bora hivi kuliko kuishi mjini kwa kuwategemea mapedeshee,” alisema msanii huyo.Gilla (6)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.