John Woka ni miongoni mwa Wasanii wa longtime Tanzania ambapo umaarufu wa jina lake uliongezeka kutokana na ubunifu wake wa kurap kama Mlevi, kwenye hii video hapa chini kuna maelezo ya mkasa uliompata pamoja na eneo la tukio ambalo ndio chanzo cha kifo chake.

Note: Only a member of this blog may post a comment.