Saturday, February 13, 2016

Anonymous

Jeshi la Polisi Lampa Zawadi Hii Mwanamke Aliyepambana na Majambazi Huko Tarime na Kuyanyang'anya Silaha!

Picha ya Tukio Jingine
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya limempa zawadi ya Laki tano Bi Sophia Manguye Mkazi wa kata ya Sirari wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa ushujaa wake wa kupambana na Majambazi na kufanikiwa kuwanyang'anya silaha aina ya SMG.
Tukio hilo lilitokea wakati majambazi walipovamia duka lake usiku na kumkuta ndani ambapo aliwalia timings na kuwanyanganya bunduki na kufanikisha jambazi moja kukamatwa..

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.