Saturday, February 20, 2016

Anonymous

Full Video RAY Kigosi Akizungumzia Rangi ya Ngozi Yake

Mwigizaji wa bongomovie Ray ‘Vicent Kigosi’ ametajwa sana na headlines za Tanzania ndani ya siku 7 zilizopita kuhusu weupe wa ngozi yake na kukawa na mistari kwamba amekua akitumia mkorogo tofauti na zamani ndio maana rangi ya ngozi imebadilika, mengi ameyaongea kwenye hii video hapa chini alipohojiwa na CloudsFM Leo Tena pia kuhusu movie yake mpya ‘Tajiri Mfupi

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.