Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Thursday, December 3, 2015
Anonymous
RASMI: Prof. LIPUMBA na Wafuasi Wake 30 Waachiwa Huru na Mahakama Ya Kisutu Leo
Professor
Ibrahim Lipumba alikuwa na kesi pamoja na wafuasi 30 wa CUF katika
Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka ya kufanya
mkusanyiko bila ya kuwa na kibali cha Polisi.
Kesi hiyo imefutwa rasmi leo baada ya DPP kuileleza mahakama kuwa hana nia tena ya kuendelea na kesi hiyo.
Note: Only a member of this blog may post a comment.