Saturday, December 5, 2015

Anonymous

Kasi ya Rais MAGUFULI Yamkuna Staa Huyu...Atoa Maoni Yake Kuhusu Matumizi ya Fedha Wanazolipwa Mawaziri

Kasi ya utendaji  kazi wa Rais wa awamo ya tano Dr. John Pombe Joseph Magufuli inazidi kuwagusa wengi, sasa time hi imegusa msanii kutoka Tip Top Connection, Madee ambaye anatamani kuona fedha watakazolipwa mawaziri zitumike kujenga barabara za juu (Flyover) kutoka Ubungo mpaka Manzese 

Msanii huyo akiongea na ripota wa millardayo alisema..’Kitu ambacho ninachokiona ni kwamba Mh Rais amesimamia Zaidi kwenye suala zima la uchumi alichotaka yeye kurudisha Uchumi ambao tayari ulikuwa umetetereka kwasababu unaona tunanunua vitu kwa gharama dola imepanda alichokifaya cha kwanza amekata zile posho za wabunge’ ->>> Madee 

Kingine ambacho nimekiona amepiga marufuku vikao ambavyo vilikuwa vinafanyika katika mahoteli makubwa kwani vilikuwa vinatumia gharama kubwa, pia amekataka maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani tutasheherekeaje wakati watu wanaumwa hii ni kitu mbaya kwa hiyo Mh Rais Magufuli alichoamua hizo hela zinazotumika katika maadhimisho basi zinatumika kununua Dawa’ ->>> Madee
BARABARAAAA
Ndio maana nikatamani hela ambazo wanalipwa mawaziri kwanini zisije kutengeneza barabara za juu yaani  Flyover kutoka Ubungo ipite Manzese na Posta nadhani ingekuwa suala zuri sana hiyo mishahara ya mawaziri’ ->>> Madee

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.