Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Friday, December 4, 2015
Anonymous
Breaking News: Gari la Mwananchi Lapata Ajali Mbaya Mlima Kitonga...Watu Wote Inasadikika Wamefariki
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Gari iliyokuwa imebeba
Magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti kwenda mkoani Mbeya
imepata ajali eneo la Kitonga leo alfajiri na inasadikiwa watu wote
waliokuwemo ndani ya gari hiyo wamefariki.
Note: Only a member of this blog may post a comment.