Saturday, November 28, 2015

Anonymous

Wale Watumishi wa TRA Walioamriwa Kuhamishwa Mikoani Wamesimamishwa Kazi LEO!

Rais Dkt Magufuli aliahidi kuwa katika serikali yake mtumishi akiharibu hatohamishwa, badala yake atasimamishwa kazi mara moja na uchunguzi kufanyika dhidi yake endapo kuna haja ya kufanya hivyo. Hili amelisimamia kwa vitendo baada ya kutengua agizo la waziri mkuu la kuwahamisha wafanyakazi wa TRA walio haribu pale bandari na kuagiza wahamishwe mikoani siku ya jana.
Source: ITV Tanzania

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.