Saturday, November 28, 2015

Anonymous

Mtandao wa Wauza Madawa ya Kulevya Waanza Kushughulikiwa..KIGOGO Mmoja Akamatwa Leo Mwenge Akiwa Dukani Kwake!

Siku kadhaa nyuma niliweka Uzi unaosema Hussein Mafisi analindwa na nani?
Kwenye Uzi huo nililalamika ni nani anayemlinda Hussein Mafisi muuza madawa maarufu Mwenge. Leo muda wa saa 9 na dakika 45 amekamatwa. Gari tatu za Polisi zilifika Dukani kwake na kubeba mateja wote waliokuwepo na Hussein wenyewe..

Hii ni mara ya kwanza kukamatwa, daima hukamatwa mateja na yeye huachwa, lakini Leo kakamatwa. Nitasikitika Sana kama nitamkuta tena jioni akiendelea na biashara yake.
Magufuli kata Hii network ya wauza unga..
Source: Nazijaz/Jamii Forums

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.