Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, November 2, 2015
Anonymous
PICHAZ: [INATISHA SANA] MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI
Wachunguzi
wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la
Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini
Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.
Mabaki
ya Ndege aina ya Airbus A-321 iliyoanguka siku ya Jumamosi ikitokea Mji
wa Sharm el-Sheikh ikielekea mji wa St. Petersburg nchini Urusi.
Note: Only a member of this blog may post a comment.