Tuesday, November 17, 2015

Anonymous

LIVE Updates From Dodoma: CHENGE Ateuliwa Kuwa Mwenyekiti wa Uchaguzi wa Spika Bungeni!

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Thomas Kashilila asubuhi hii amemteua Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge kuwa Mwenyekiti wa uchaguzi wa Spika wa Bunge unaofanyika leo bungeni.
Endelea kufuatilia yanayojiri zaidi hapa...

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.