Monday, October 26, 2015

Anonymous

TAARIFA za MATOKEO ya Jimbo la MBEYA Hii Hapa

Mbunge aliyemaliza muda wake lakini anagombea tena Joseph Mbilinyi
Matokeo ya Ubunge Mbeya Mjini yatatangazwa leo jioni saa kumi na moja lakini matokeo ya udiwani Mbeya Mjini Chama Cha Chadema kimepata kata 26 huku CCM imepata kata 8 na kata 1 imeahirishwa kufanyika uchaguzi kutokana na mgombea kufariki dunia ‪#‎Yanayojiri‬
Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.com kwa updates zote muhimu za uchaguzi mkuu na matukio mbalimbali kama bado hauja-like page yetu ya facebook bonyeza hapa 

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.