Hali ya Usalama Zanzibar sio nzuri, Polisi amelazimka kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa CUF walioingia barabarani kushangilia ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad ambaye amejitangazia ushindi hata kabla ya ZEC kumaliza kutangaza matokeo.
Mabomu ya machozi yamepigwa kwa wingi katika mji wa Chakechake baada ya wananchi kukaidi amri halali ya Polisi ya kuwataka watawanyike


Mabomu ya machozi yamepigwa kwa wingi katika mji wa Chakechake baada ya wananchi kukaidi amri halali ya Polisi ya kuwataka watawanyike




Note: Only a member of this blog may post a comment.