Thursday, October 22, 2015

Anonymous

Muonekano wa Gari ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Nape NNAUYE Baada ya Kupata Ajali Mbaya Jana Usiku!

Muonekano wa gari ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye, Toyota Land Cruiser baada ya kupata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es salaam.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.