Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Tuesday, October 27, 2015
Anonymous
Matokeo Rasmi Jimbo la Iringa Mjini Kwa Mchungaji Peter MSIGWA wa CHADEMA Haya Hapa
Jimbo la Iringa Mjini: Mchungaji Peter Msigwa pichani wa Chadema, ameshinda kwa jumla ya kura 43184 dhidi ya mpinzani wake wakaribu Fredrick Mwakalebela wa CCM, aliyepata kura 32406
Note: Only a member of this blog may post a comment.