
Mgombe Urais wa CHADEMA Mhe. Edward Lowassa akiwa na Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo Saed Kubenea

Msafara wa Mgombea Urais wa CHADEMA akiwa maeneo wa Ubungo akiendelea na kampeni.. Jijini Dar es Salaam.

Wakazi wa Mwembeyanga, Temeke waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe. Edward Lowassa.




Mgombe Urais wa UKAWA, Mhe. Edward Lowassa akiwasili katika viwanja vya Mwembeyanga Temeke.

Makongoro Mahanga akimnadi Julius Mtatiro wa Jimbo la Segerea kupitia CUF na UKAWA.
Wakazi na wafanya biashara wa eneo na Ubungo wamemsimamisha Mgombea Urais wa CHADEMA, Mhe Edward Lowassa kuongea nae 





Wakazi wa Jimbo la Segerea waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais wa CHADEMA, Mhe. Edward Lowassa mapema leo mchana. 

Mh. Edward Lowassa akiwasili viwanja vya TP Tandale
TANGANYIKAPACKERS: Wananchi wakimsubiri Edwardlowassa kwa ajili ya mkutano wa kampeni






TANGANYIKAPACKERS: Wananchi wakimsubiri Edwardlowassa kwa ajili ya mkutano wa kampeni 






Note: Only a member of this blog may post a comment.