
Mgombe Urais wa CHADEMA Mhe. Edward Lowassa akiwa na Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo Saed Kubenea

Msafara wa Mgombea Urais wa CHADEMA akiwa maeneo wa Ubungo akiendelea na kampeni.. Jijini Dar es Salaam.

Wakazi wa Mwembeyanga, Temeke waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe. Edward Lowassa.




Mgombe Urais wa UKAWA, Mhe. Edward Lowassa akiwasili katika viwanja vya Mwembeyanga Temeke.

Makongoro Mahanga akimnadi Julius Mtatiro wa Jimbo la Segerea kupitia CUF na UKAWA.











Mh. Edward Lowassa akiwasili viwanja vya TP Tandale
TANGANYIKAPACKERS: Wananchi wakimsubiri Edwardlowassa kwa ajili ya mkutano wa kampeni













Note: Only a member of this blog may post a comment.