Wednesday, October 14, 2015

Anonymous

Hii Ndio Top 10 ya Wachezaji Wenye Jezi Zinazouza Zaidi Ulaya

Hii ni orodha iliyotolewa ya vilabu/wachezaji ambao jezi zao zinaongozwa kwa kuuza Ulaya. Imetolewa na mtandao wa Kitbag.com na kuoredhesha majina ya wachezaji 10 ambao jezi zenye namba zao zinaongoza kwa kuuza.
IMG_9290
Mchezaji ambaye amewashangaza wengi ni winga mpya wa klabu ya Manchester United anayevaa jezi namba 7, Memphis aliyeshika nafasi ya tatu nyuma ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huku akiwa ndio mchezaji ambaye jezi zake zinauzika sana katika ligi kuu ya EPL kwa sasa.
Hii ndio Orodha kamili
1) Lionel Messi – Barcelona
2) Cristiano Ronaldo – Real Madrid
3) Memphis Depay – Manchester United
4 Bastian Schweinsteiger – Manchester United
5) Eden Hazard – Chelsea
Rooney – Manchester United
7) Neymar – Barcelona
8) Sergio Aguero – Manchester City
9) Alexis Sanchez – Arsenal
10) Philippe Coutinho – Liverpool

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.