Tuesday, October 20, 2015

Anonymous

Dr. John Pombe MAGUFULI Awasha Moto Mkoani Geita (Nkome)...Atembelea Kaburi la Babu na Bibi Yake


Zikiwa zimebaki siku chache wa Tanzania wapige kura ya kumchagua Raisi wa awamu ya Tano. Jana Dr. John Pombe Magufuli alikuwa na mkutano mkoani Geita (Nkome).
Pia Dr. John Pombe Magufuli alitembelea kaburi la bibi yake na babu yake katika kijiji cha Katoma.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.