Friday, October 16, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: Mgombea Ubunge CCM, DEO FILIKUNJOMBE Amefariki Dunia, Taarifa Imethibitishwa na ZITTO KABWE Muda Huu!

Marehemu Deo Filikunjombe aliyevaa miwani katikati
Zitto Kabwe ameandika hivi kuthibitisha kifo cha Deo Filikunjombe:
Zitto Z Kabwe 26 mins · Twitter ·
Ndugu yetu, rafiki yetu na mzalendo mwenzetu @DeoFilikunjombe ametutoka kufuatia ajali ya helkopta. Nawasihi tuwe na utulivu wakati huu mgumu.
Endelea kufuatilia hapa hapa kandiliyetu.com kwa taarifa zaidi kuhusu ajali hiyo na idadi kamili ya waliopoteza maisha!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.