Aliyekuwa mpenzi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi,
Faiza Ally ameamua kuweka wazi kuwa japokuwa wamegombana na mzazi
mwenzake lakini bado anampenda na kumthamini.
Kupitia kwenye akaunti yake wa instagram amepost picha ya Sugu na kuandika haya>>
Alie
kwambia simpendi nani ???? Nampenda ndio maana nili zaa nae ������ na
sio lazima nilale nae na kuamka nae ndio mjue nampenda – unaweza
unampenda mtu kwa mbali na bado ukasimama kwenye ukweli tu – kwa mimi
that’s true love – �� – oh yes nampenda na nina mpenzi tunapenda ! So what?????‘aliandika
Kupitia kwenye akaunti yake wa instagram amepost picha ya Sugu na kuandika haya>>
Note: Only a member of this blog may post a comment.