Ametuibia sisi na tumempenda sisi shida iko wapi? Kila siku Lowasa mwizi, Lowasa mwizi nani msafi CCM? Acheni kuhadaa watu: Je, Mkapa msafi? Kikwete msafi? Na hao mawaziri kila siku skendo na bado tu mnawakumbatia bila kuchukuliwa hatua stahiki nao ni wasafi?! Kuna kitu mnakijua kuhusu Lowasa sio bure, sasa sisi tunamtaka Lowasa tuone kwa nini mnamuogopa mtu ambaye kwenu alionekana makapi!
MWAKA HUU RAIS WANGU FISADI HATA MSEME NINI SIMUACHI LOWASSA!
-By mdau JF

Note: Only a member of this blog may post a comment.