Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Friday, September 11, 2015
Anonymous
Picha 6 za Mafuriko ya LOWASSA Huko Kibaigwa Mkoani Dodoma
Tangu tarehe 29 August ulipofanyika uzinduzi wa kampeni za Ukawa,Lowassa ameendelea kuwa gumzo sehemu mbali mbali anapofanya mikutano ya kampeni zake. Jana Sept 10,Lowassa alikuwa Mkoani Dodoma katika wilaya ya Kongwa mji mdogo Kibaigwa katika uwanja wa Amani
Note: Only a member of this blog may post a comment.