Wednesday, September 23, 2015

Anonymous

NUH MZIWANDA Katelekeza Msichana Guest? Stori Kwenye #UHeard na Soudy Brown.. (Audio)

Kama kawaida ya Soudy Brown amekuwa akituletea tetesi za mastaa mbalimbali zinazohusiana na matukio mbalimbali wanayokutana nayo..leo ni Nuh Mziwanda..Kuna dada kampigia simu akilalamika Nuh kumdhalilisha mdogo wake kwa kumuacha guest bila kulipia. 

Amesema baada ya kumaliza Birthday yake Nuh alikwenda na mdogo wake katika moja ya nyumba za kulala wageni maeneo ya Sinza mida ya saa 8 mchana na alimuaga anarudi lakini hakurudi na pesa alikua bado hajalipia.

Amesema hakupenda kuweka wazi lakini kwani imebidi asema kwa kuwa mdogo wake bado ni mdogo na hakuwa na pesa za kulipa.
Mwenyewe amesema alikwenda nyumbani kwao na kumtafuta kisha wakaenda kulewa na baadaye kumpekea kwenye nyumba za kulala wageni.
Msikilize hapa akielezea kwa Soudy Brown…

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.