Wednesday, September 2, 2015

Anonymous

MTOTO MZURI YVONNE NELSON AHAMISHIA MAPENZI YAKE KWA MUNGU


Mwigizaji Yvonne Nelson wa Ghana.
MWIGIZAJI Yvonne Nelson wa Ghana ambaye aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwimbaji Iyanya wa Nigeria, na baadaye uhusiano wao huo ukavunjika na kumwacha na kile alichokisema majonzi makubwa, amesema amempata mpenzi wake mpya ambaye ni Mungu.
Mwigizaji huyo mrembo alisema majuzi: “Mapenzi yangu ya siku nyingi yako kwa Mungu, ambaye amekuwa upande wangu katika furaha na matatizo.
Q

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.