
Watu wanaodaiwa kuanguaka kwa imani za kishirikina wilayani Wanging'ombe wakiwa kwenye gari la polisi.Watu Watatu ambao hawajajulikana majina yao jinsi ya kiume wamekutwa wameanguka katika kijiji cha Utiga wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe kwa imani za kishirikina.

Watu hao wakiondolewa na polisi eneo la tukio


Picha na Gabriel Kilamlya, Njombe
Note: Only a member of this blog may post a comment.