Friday, September 25, 2015

Anonymous

MAAJABU YA NJOMBE: WACHAWI WATATU WADONDOKA NA UNGO WAKISAFIRI ANGANI [PICHAZ]


Watu wanaodaiwa kuanguaka kwa imani za kishirikina wilayani Wanging'ombe wakiwa kwenye gari la polisi.Watu Watatu ambao hawajajulikana majina yao jinsi ya kiume wamekutwa wameanguka katika kijiji cha Utiga wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe kwa imani za kishirikina.

Watu hao wakiondolewa na polisi eneo la tukio
Watu hao ambao hawajafahamika mara moja wanakotoka wanadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Songea Mkoani Ruvuma lakini walipofika katika kijiji hicho ndipo walipoanguka.

Picha na Gabriel Kilamlya, Njombe

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.