Sunday, September 20, 2015

Anonymous

LOWASSA: Richmond Kujulikana Oktoba 25

Hiyo ni kauli ya Lowassa.
Sumaye nae ahoji kama Richmond ni ya Lowassa kwanini inalipwa?
Lowassa anapiga kampeni za kisayansi, walitegemea atawajibu kuhusu Richmond sasa itabidi waendelee kusubiri hadi siku ya kupiga kura watakapopata majibu wanayoyataka.
Na sisi wananchi tuko tayari kumjibia siku hiyo.
Chanzo: TanzaniaDaima

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.