Friday, September 18, 2015

Anonymous

Baba Yake KIM KARDASHIAN Aliyejigueza Kuwa Mwanamke Ashindania Tuzo Na Malkia Elizabeth

Baba wa kambo wa Kim Kardashian, Caitlyn Jenner aliyejibadili kuwa mwanamke ametajwa kushindania tuzo ya bibi/babu bora wa mwaka 2015.

Queen Elizabeth and Caitlyn
Tuzo hiyo inatolewa na mgahawa maarufu nchini Uingereza wa Chain TableTable ambao umeendelea kuwahamasisha watu mbalimbali kuwapigia kura washiriki wanaowapenda.
Akizungumzia sababu za kuanzisha tuzo hiyo, Meneja masoko wa mgahawa huo, Jo Watling alisema kuwa lengo la kuanzisha tuzo hiyo ni kuhakikisha wanatambua mchango wa wazee katika ngazi za familia.
Malkia Elizabeth na Caitlyn wameingia fainali za mashindano ya tuzo hizo kwa kupigiwa kura nyin

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.