Picha za umati wa wananchi waliojitokeza
katika uwanja wa Al’Hasan Mwinyi mkoani Tabora kushuhudia burudani za
wasanii na sera za wagombea wa mbalimbali akiwemo mgombea wa ngazi ya
urais Dkt. John Pombe Magufuli mgombea wa tiketi ya CCM.
Umati
wa wananchi waliojitokeza kushuhudia wasanii na wanasiasa akiwemo Dkt.
John Pombe Magufuli mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM.
Watoto wakiwasubiri wanasiasa na wasanii uwanjani hapo.
Katika lango la uwanja wa Al’Hassan Mwinyi kwa nje wananchi wakiendelea kuingia uwanjani hapo.
Umati
wa wananchi waliojitokeza kushuhudia wasanii na wanasiasa akiwemo Dkt.
John Pombe Magufuli mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM.

Note: Only a member of this blog may post a comment.