Saturday, August 15, 2015

Anonymous

LINAH Afunguka Kuhusu MATUSI Mtandaoni!

Linah.
Gabriel Ng’osha
MPENZI msomaji wa safu hii ya Dukuduku, leo ninaye msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ akisikitika na kuumia hasa pale anapotolewa au kusikia mtu akitoa matusi, iwe kwenye mitandao ya kijamii au ana kwa ana.
“Huwa naumia sana napotukanwa mimi au mtu mwingine, iwe kwenye mitandao ya kijamii, simu, au ana kwa ana, sipendi matusi, nawashauri wenye tabia hii wabadilike, mseme mtu lakini usimtukane,” alisema Linah.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.