Zaidi ya wanachama mia 300 waliokuwa chama cha CCM kutoka jamii ya
kifugaji katika kata ya Engaruka wilaya ya Monduli wamezichoma kadi zao
za CCM na kujiunga na CHADEMA huku wakidai maamuzi yao yametokana na
utashi wao binafsi kwa kuzingatia hali halisi ya kisiasa ilivyo hivi
sasa
Mamia ya wanachama walikusanyika katika mkutano wa hadhara kukusanya kadi za CCM kuzichoma moto na kuchukua kadi za CHADEMA.
Mamia ya wanachama walikusanyika katika mkutano wa hadhara kukusanya kadi za CCM kuzichoma moto na kuchukua kadi za CHADEMA.


Note: Only a member of this blog may post a comment.