Monday, August 10, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: Ofisi ya Makamu wa Rais Yafunguka Kuhusu Gharib Bilal Kuongea na Waandishi wa Habari Leo

11870940_832252953539048_7275306974795857351_n
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal.
OFISI ya Makamu wa Rais imekanusha  taarifa za kwenye mitandao ya kijamii  kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal ataongea na vyombo vya habari kuhusu msimamo wake ndani ya serikali na Chama Cha Mapinduzi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.